+255 NEW MUSIC ANTHEN - BAGHDAD FT WABABA ~MPAKA LINI prodBy Young keezMasteredByMr.T Touches
Track : Mpaka Lini
Artist : Baghdad Ft Wababa
Studio : St Record
Producer : Yung kizi
Intro
Wababa : mwa mwa mwa
mwa mwa mwa
mwa mwa mwa
mwa mwa mwa
mwa mwa mwa
mwa mwa mwa
mwa mwa mwa
mwa mwa mwa
verse 1
The heavy whet a.k.a dady au papi na unawish tungeoana
Na we ni black beauty mama mamy inapendeza tungeoana
Mishe zangu dushelele pushe pushe na baba ako ni poster
Nawaza nikurushe ili uende kaburu na ukirudi ndo tule bata
Tutavaa nini bila ya mishe mishe
Hunny tutakula bila ya mishe mishe
Bila kuuza unga na mbutee nangai na motema nisifikishe
Asee tutakuwa mabubu mpaka lini
Honey tutakuwa viziwi mpaka lini
Haya maisha ya boy friend na girlfriend tu
Honey tutayaishi wote mpaka lini
Baby tutasemwa semwa mpaka lini
Tutakuwa midomon mpaka lini
Haya maisha ya boy friend na girlfriend tu
Honey baby tutayaishi mpaka lini
Aseee okey mama mama mama mamushka “I love you”
seiya mama mama mama mamushka “I need you”
moyo unadunda dunda tu ntamuogopa baba ako mpaka lini
sey tena mama mama mama mamushka “I love you”
seiya mama mama mama mamushka “I need you”
the havey wheit na we ni black beauty na wish tutaoana
chourus
naelewa maisha ni subira ni subira mbona kwetuimezidi sana….
Wazazi wanataka wajukuu na angali hatujaoana………..
Nieleze mpaka lini, wololo! wololo wololo wololo
Mpaka lini mama, wololo ! wololo wololo wololo
Mpaka lini wewe, wololo wololo wololo wololo
Nieleze mpaka lini, wololo wololo wololo wololo
Verse 2
Nimeshawaza waza na wewe ukiwaza na kuwazua
Honey Tusije tukashangaza jamii mamy beyb tukawa vilema wakuamua
Embu waza baba ako na mama ako wasingefunga ndoa honey vip leo mngekuwa
Fikiria kaka ako na wifi yako wasingefungandoa leo vip ingekuwa
Wapo wanaoukufil na wanakupenda, mbele ya wazazi wataapa wanakupenda
Ukiwapa love honey baada ya siku kenda, wameshakuchoka hawataki kukupa ata denda
Mi ndio naekufil na ndo naekupenda, mbele ya wazazi ntaaapa nakupenda
Ata unipe love honey baada ya miaka kenda, siwezi kukukimbia mbali nikaenda
ila sipendi ukinuna
Sura inatuna kama nguna
Ila ukicheka maa furaa kwangu na ndo maana nanuna
ila sipendi ukinuna weweeeee!
Sura inatuna kama nguna
Ila ukicheka maa furaa kwangu na ndo maana nanuna
Chorus
chourus
naelewa maisha ni subira ni subira mbona kwetuimezidi sana….
Wazazi wanataka wajukuu na angali hatujaoana………..
Nieleze mpaka lini, wololo! wololo wololo wololo
Mpaka lini mama, wololo ! wololo wololo wololo
Mpaka lini wewe, wololo wololo wololo wololo
Nieleze mpaka lini, wololo wololo wololo wololo
Outro
Wordaaa asey baghddibibididbi d dabidibidadi wababa
Dar to Kilimanjaro mpaka linddi
Dar to Kilimanjaro mpaka linddi
Dar to nKilimanjaro mpaka linddi
b.a.g.h waziwanda what’s up
Dar to Kilimanjaro mpaka linddi
Dar to Kilimanjaro mpaka linddi
Dar to Kilimanjaro mpaka linddi
Aaaa aaa aaa aaa aaaau aaaau
Nilikuwa cha pombe we “ mwa mwa mwa”
Nilikula mirungi “mwa mwa mwa”
Vitoto usiseme “mwa mwa mwa”
Akia mungu swagaa zako zimefanya nibwage weee
Bagdibidibi dabidibidabidib
Waziwanda what’s up
Young kiz
St rec
Artist : Baghdad Ft Wababa
Studio : St Record
Producer : Yung kizi
Intro
Wababa : mwa mwa mwa
mwa mwa mwa
mwa mwa mwa
mwa mwa mwa
mwa mwa mwa
mwa mwa mwa
mwa mwa mwa
mwa mwa mwa
verse 1
The heavy whet a.k.a dady au papi na unawish tungeoana
Na we ni black beauty mama mamy inapendeza tungeoana
Mishe zangu dushelele pushe pushe na baba ako ni poster
Nawaza nikurushe ili uende kaburu na ukirudi ndo tule bata
Tutavaa nini bila ya mishe mishe
Hunny tutakula bila ya mishe mishe
Bila kuuza unga na mbutee nangai na motema nisifikishe
Asee tutakuwa mabubu mpaka lini
Honey tutakuwa viziwi mpaka lini
Haya maisha ya boy friend na girlfriend tu
Honey tutayaishi wote mpaka lini
Baby tutasemwa semwa mpaka lini
Tutakuwa midomon mpaka lini
Haya maisha ya boy friend na girlfriend tu
Honey baby tutayaishi mpaka lini
Aseee okey mama mama mama mamushka “I love you”
seiya mama mama mama mamushka “I need you”
moyo unadunda dunda tu ntamuogopa baba ako mpaka lini
sey tena mama mama mama mamushka “I love you”
seiya mama mama mama mamushka “I need you”
the havey wheit na we ni black beauty na wish tutaoana
chourus
naelewa maisha ni subira ni subira mbona kwetuimezidi sana….
Wazazi wanataka wajukuu na angali hatujaoana………..
Nieleze mpaka lini, wololo! wololo wololo wololo
Mpaka lini mama, wololo ! wololo wololo wololo
Mpaka lini wewe, wololo wololo wololo wololo
Nieleze mpaka lini, wololo wololo wololo wololo
Verse 2
Nimeshawaza waza na wewe ukiwaza na kuwazua
Honey Tusije tukashangaza jamii mamy beyb tukawa vilema wakuamua
Embu waza baba ako na mama ako wasingefunga ndoa honey vip leo mngekuwa
Fikiria kaka ako na wifi yako wasingefungandoa leo vip ingekuwa
Wapo wanaoukufil na wanakupenda, mbele ya wazazi wataapa wanakupenda
Ukiwapa love honey baada ya siku kenda, wameshakuchoka hawataki kukupa ata denda
Mi ndio naekufil na ndo naekupenda, mbele ya wazazi ntaaapa nakupenda
Ata unipe love honey baada ya miaka kenda, siwezi kukukimbia mbali nikaenda
ila sipendi ukinuna
Sura inatuna kama nguna
Ila ukicheka maa furaa kwangu na ndo maana nanuna
ila sipendi ukinuna weweeeee!
Sura inatuna kama nguna
Ila ukicheka maa furaa kwangu na ndo maana nanuna
Chorus
chourus
naelewa maisha ni subira ni subira mbona kwetuimezidi sana….
Wazazi wanataka wajukuu na angali hatujaoana………..
Nieleze mpaka lini, wololo! wololo wololo wololo
Mpaka lini mama, wololo ! wololo wololo wololo
Mpaka lini wewe, wololo wololo wololo wololo
Nieleze mpaka lini, wololo wololo wololo wololo
Outro
Wordaaa asey baghddibibididbi d dabidibidadi wababa
Dar to Kilimanjaro mpaka linddi
Dar to Kilimanjaro mpaka linddi
Dar to nKilimanjaro mpaka linddi
b.a.g.h waziwanda what’s up
Dar to Kilimanjaro mpaka linddi
Dar to Kilimanjaro mpaka linddi
Dar to Kilimanjaro mpaka linddi
Aaaa aaa aaa aaa aaaau aaaau
Nilikuwa cha pombe we “ mwa mwa mwa”
Nilikula mirungi “mwa mwa mwa”
Vitoto usiseme “mwa mwa mwa”
Akia mungu swagaa zako zimefanya nibwage weee
Bagdibidibi dabidibidabidib
Waziwanda what’s up
Young kiz
St rec


No comments