MZIGO MZIMA WA TUZO ZA KILI 2012.
Godzila na Antu wa CLOUDS TV. (picha zote za Redcarpet zimepigwa na bongo5.com)
.
.
.
.
.
.
Lisa Jensen.
.
.
.
.
.
Washereheshaji walikua ni Millard Ayo wa CLOUDS FM na Vannesa Mdee wa 102.6 CHOICE FM.
Ommy
Dimpoz akiwa na Mchekeshaji kutoka ORIJINO KOMEDI - Mpoki ambae alikua
mshereheshaji pia... alichekesha sana! alifanya kazi nzuri..........
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Mtumbuizaji bora wa kike ni
Isha Mashauzi, Mtumbuizaji bora wa kiume ni Diamond, Mwimbaji bora wa
kiume ni Barnaba, Mwimbaji bora wa kike ni Lady Jaydee, Wimbo bora wa
Taarabu ni Full Stop wa Khadija Kopa, Wimbo bora wa mwaka ni Hakunaga wa
Sumalee, Wimbo bora wa kiswahili wa bendi ni Dunia daraja wa African
Stars, wimbo bora wa R&B Number one fan wa Ben Pol, wimbo bora wa
Hiphop ni Mathematics.
Wimbo bora wa Reggae ni Arusha
Gold – Warrior from the East, wimbo bora wa Ragga/Dancehall ni Maneno
maneno wa Queen Darleen ft Dully Sykes, Repa bora wa mwaka wa bendi ni
Kalidjo Kitokololo, Msanii bora wa hiphop ni Roma, Wimbo bora wa Afrika
mashariki ni Kigeugeu wa Jaguar, Mtunzi bora wa mwaka ni Diamond,
Producer bora ni Maneck, Video bora ya muziki ya mwaka ni Moyo wangu ya
Diamond.
Wimbo bora wa Afro pop ni
hakunaga wa Sumalee, wimbo bora wa Zouk/Rhumba ni Dushelele ya Ally
Kiba, Wimbo bora wenye vionjo vya kiasili ni Vifuu Tundu wa AT ft
Mwanne, Msanii bora anaechipukia ni Ommy Dimpoz, Wimbo bora wa
kushirikiana ni Nai Nai wa Ommy Dimpoz ft Ali Kiba, Hall of fame kwa
taasisi imekwenda kwa JKT, watu binafsi ni wanamuziki King Kiki na Remmy
Ongala.






































No comments